CECAFA YAFANYA MADUDU YA MILENIA TUZO YA MFUNGAJI BORA CHALLENGE
\
WAFUNGAJI CECAFA TUSKER CHALLENGE
2012
John Bocco Tanzania 5
Mrisho
Ngassa Tanzania 5
Robert
Ssentongo Uganda 4
Brian Umony Uganda 3
Khamis Mcha Zanzibar 3
Suleiman
Ndikumana Burundi 3 (1 penalti)
Chris
Nduwarugira Burundi 3
Geoffrey
Kizito Uganda 2
David
Ochieng Kenya 2
Clifton
Miheso Kenya 2
Dadi Birori Rwanda 2
Mike Barasa Kenya 2
![]() |
hassan wasswa na mabeki wa kenya |
![]() |
cannavaro akiwa kazini |
![]() |
raha tupu kampala |
![]() |
chiuji alionyesha kwamba ukubwa dawa japokuwa combination kidogo ilikuwa tata tofauti anapocheza na niyonzima wakiwa jangwani. |
![]() |
ilikuwa ni full shangwe kwa mwalimu wa wazenji hao kwani alitangaza kuto kaa katika bench la ufundi lakini akabadili mawazo na kukaa ili kuwapa hamasa vijana wake |
No comments:
Post a Comment